Hesabu 17:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Ujitenge na watu hawa, niwaangamize mara moja! Lakini wao wakajitupa uso mpaka chini. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Ndani ya chumba kile kulikuwa chombo cha kufukizia ubani, kilichotengenezwa na zahabu. Na kulikuwa vilevile Sanduku la Agano lililopakaliwa zahabu pande zote. Ndani ya sanduku lile kulikuwa kopo la zahabu lenye mana, na fimbo ya Haruni iliyoota vichipukizi juu yake. Kulikuwa vilevile vibao vya mawe vyenye Maandiko ya Agano la Mungu.