Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 16:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Basi, Musa akaenda kwa Datani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 16:25
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hapo, Yawe akashuka katika wingu na kuzungumuza naye. Halafu akatwaa sehemu ya roho aliyokuwa amemupa Musa, akawapa kila mumoja wa wale wazee makumi saba. Walipoingiwa na roho huyo, wazee hao wakaanza kutoa unabii, lakini hawakurudia kufanya hivyo.


Kisha Musa akarudi katika kambi pamoja na wale wazee makumi saba wa Israeli.


Kisha Kora mwana wa Isihari mwana wa Kohati mwana wa Lawi, akatwaa watu pamoja na watu watatu wa ukoo wa Rubeni: Datani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni mwana wa Peleti.


Uwaambie watu waondoke karibu na makao ya Kora, Datani na Abiramu.


Alipofika, akawaambia watu: Tafazali muondoke kwenye hema za watu hawa waovu na musiguse kitu chao chochote, musiangamizwe pamoja nao kwa sababu ya zambi zao zote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ