Hesabu 16:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Musa akamwambia Kora: Kesho usikose kuja pamoja na wafuasi wako mbele ya Yawe. Haruni vilevile atakuwa pale. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Niko hapa, na kama nimefanya tendo lolote baya, basi, mutoe ushuhuda mbele ya Yawe na mbele ya mufalme wake muchaguliwa. Nimenyanganya ngombe dume au punda wa mutu yeyote? Nimemugandamiza mutu yeyote? Nimemutesa mutu yeyote? Nimepokea kituliro kwa mutu yeyote kusudi nifunge macho mbele ya matendo yake? Museme nami nitamurudishia kitu chochote kile.”