Hesabu 15:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 mutu atamutoa kama vile sadaka pamoja na sadaka ya vyakula ya unga wa kilo tatu unaokuwa muzuri na litre mbili za mafuta, အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Yule mutu akaniambia: Vyumba hivi vyote ni vitakatifu. Ndani ya vyumba hivi makuhani wanaoingia mbele ya Yawe, wanakula sadaka takatifu kabisa: sadaka takatifu kabisa na humo ndimo munamowekwa sadaka za vyakula, sadaka za kuomba kusamehewa zambi na sadaka kwa ajili ya malipo ya kosa kwa sababu pahali hapo ni patakatifu.