Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 15:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Siku moja, wakati Waisraeli walipokuwa katika jangwa, wakamwona mutu mumoja akiokota kuni siku ya Sabato.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 15:32
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Musa akawaambia: “Hii ndiyo amri ya Yawe. Kesho ni siku ya mapumziko. Ni Sabato takatifu ya Yawe. Basi, muende mupike au kuchemusha kile chakula munachohitaji leo na chakula kitakachobakia mukiweke mpaka kesho.”


Uwaambie kwamba: Yawe anasema hivi: Mufanye angalisho kwa ajili ya maisha yenu. Musibebe muzigo siku ya Sabato, au kuingiza muzigo katika Yerusalema kupitia kwenye milango ya muji.


Basi, mutu huyo akapelekwa mbele ya Musa, Haruni na Waisraeli wengine wote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ