Hesabu 15:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Waisraeli wote, pamoja na wageni wanaoishi nao, watasamehewa kwa sababu wote walielekewa na kosa hilo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
basi, ikiwa kosa hilo limefanyika bila kukusudia, bila Waisraeli wote pamoja kujua, watatoa mwana-ngombe dume mumoja kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumupendeza Yawe, pamoja na sadaka yake ya vyakula na ya kinywaji kufuatana na maagizo yake. Vilevile watu watatoa beberu mumoja kuwa sadaka kwa ajili ya zambi.