Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 15:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Lakini kama mutakosa kufuata amri zote ambazo mimi Yawe nimewapa kwa njia ya Musa,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 15:22
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yananifundisha mimi mutumishi wako; kuyafuata kunaniletea zawadi kubwa.


Uwaambie watu wa Israeli hivi: Kama mutu akitenda zambi bila kukusudia, akifanya kitu kilichokatazwa na amri ya Yawe, atafanya hivi:


Ikiwa mutawala ametenda zambi bila kukusudia kwa kufanya kitu kilichokatazwa na amri ya Yawe, Mungu wake, na hivyo akakuwa na kosa,


Kama mutu wa kawaida ametenda zambi bila kukusudia, kwa kufanya kitu kilichokatazwa na amri ya Yawe na hivyo akakuwa na kosa,


Basi, kuhani atamufanyia yule mutu ibada ya upatanisho kwa ajili ya zambi, naye atasamehewa. Unga unaobaki utakuwa wa kuhani kama vile inavyofanyika juu ya sadaka ya ngano.


Mutanitolea mimi Yawe sadaka hii katika vizazi vyenu vyote vinavyokuja.


kama siku zinazokuja watu hawatafuata yote ambayo mimi Yawe nimemwamuru Musa,


Lakini kwa ngambo ingine, yule asiyejua mapenzi ya bwana yake, na anayefanya mambo yanayostahili azabu, atapigwa fimbo chache. Kwa maana kila mutu aliyepewa vingi, ataombwa kutoa vingi zaidi; na aliyepewa madaraka mengi, ataulizwa mengi zaidi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ