Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 15:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Na kama kuna mugeni anayeishi pamoja nanyi kwa muda au siku zote, akitaka kutoa sadaka yake kwa kuiteketeza kwa moto, harufu inayomupendeza Yawe, mutu huyo atafanya kama vile munavyofanya ninyi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 15:14
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

maana watu wa mataifa mengine watasikia sifa zako na juu ya nguvu na uwezo wako, mutu yule akikuja na kuomba akielekea nyumba hii,


Umwambie Haruni na wana wake makuhani na Waisraeli wote hivi: Kama mutu yeyote kati yenu au mugeni yeyote anayeishi katika Israeli akitoa sadaka yake, ikuwe ni ya kutimiza kiapo au sadaka ya mapenzi ya kumutolea Yawe kwa kuteketezwa,


Wala usipokee kutoka kwa wageni nyama wa namna hiyo na kunitolea mimi Mungu wako kama chakula. Nyama hao wana kilema kwa vile wamekatwa na hawatakubaliwa kwa faida yenu.


Kila mwananchi Mwisraeli atafuata maagizo hayo wakati anapotoa sadaka, harufu inayomupendeza Yawe.


Katika vizazi vyote vinavyokuja, masharti yaleyale mutakayofuata ninyi ndiyo mugeni yeyote atakayeishi pamoja nanyi atakayofuata; mbele ya Yawe mutakuwa sawa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ