13 Kila mwananchi Mwisraeli atafuata maagizo hayo wakati anapotoa sadaka, harufu inayomupendeza Yawe.
Hesabu ya vitu hivyo itaongezwa kulingana na hesabu ya nyama watakaotolewa.
Na kama kuna mugeni anayeishi pamoja nanyi kwa muda au siku zote, akitaka kutoa sadaka yake kwa kuiteketeza kwa moto, harufu inayomupendeza Yawe, mutu huyo atafanya kama vile munavyofanya ninyi.