12 Hesabu ya vitu hivyo itaongezwa kulingana na hesabu ya nyama watakaotolewa.
Hivi ndivyo vitu vitakavyotolewa pamoja na kila mwana-ngombe dume, kondoo dume au mbuzi.
Kila mwananchi Mwisraeli atafuata maagizo hayo wakati anapotoa sadaka, harufu inayomupendeza Yawe.