Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 14:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Lakini Musa akasema: Sasa mbona munavunja agizo la Yawe? Hivyo hamutashinda!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 14:41
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Roho wa Mungu akamujaza Zakaria mwana wa kuhani Yoyada, naye akasimama mbele ya watu kwa pahali palipokuwa juu kidogo, akawaambia: “Yawe anauliza: Kwa nini mumevunja sheria zake? Sasa hamuwezi kufanikiwa! Kwa vile mumemwacha, naye vilevile amewaacha!”


Mungu anawaangamiza kwa pumzi yake; wanateketezwa kwa kuvuma kwa hasira yake.


Na huko vilevile utatoka na haya, mikono ikiwa juu ya kichwa. Mimi Yawe nimewakataa wale uliowategemea, wala hautafanikiwa kwa musaada wao.


Zedekia atapelekwa mpaka Babeli, naye atakaa huko mpaka nitakapomushugulikia. –Ni ujumbe wa Yawe.– Kama mukipigana na Wakaldea, hamutawashinda.


Kwa sababu Waamaleki na Wakanana wanakaa katika mabonde ya inchi hiyo, kesho mugeuke nyuma muende katika jangwa kuelekea bahari ya Shamu.


Naye Yawe akaniambia: ‘Uwaambie hao watu wasiende kupigana kwa sababu siko pamoja nao. Wasiende, kusudi wasishindwe na waadui zao’.


Kwa nini basi, haukuitii sauti ya Yawe? Kwa nini mukakimbilia vitu kwa kuvinyanganya na hivyo kutenda jambo ovu mbele ya Yawe?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ