Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 14:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Lakini ninyi, mutakufia humuhumu katika jangwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 14:32
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo Mungu akainua mukono, akaapa kwamba atawaangamizia katika jangwa,


Mutakufa na miili yenu itatupwa humuhumu katika jangwa, kwa sababu mumenungunika juu yangu, hakuna hata mumoja wenu mwenye umri wa kuanzia miaka makumi mbili na zaidi,


Kati yao hakukuwa hata mutu mumoja aliyebakia kati ya wale waliohesabiwa na Musa na kuhani Haruni ambao walifanya hesabu ya kwanza katika jangwa la Sinai.


Yawe alikuwa amesema kwamba wote watakufia katika jangwa, na kweli hakuna hata mumoja wao aliyebaki muzima, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


Yawe akawaka hasira juu ya Waisraeli, akawafanya watangetange katika jangwa kwa muda wa miaka makumi ine; kizazi kizima kilichokuwa kimefanya maovu mbele yake kikakufa.


Lakini, wengi sana kati yao hawakumupendeza Mungu, kwa hiyo wakakufia katika jangwa.


Tena, ni watu gani waliomukasirikisha Mungu kwa muda wa miaka makumi ine? Si wale wote waliofanya zambi wakaanguka na kufa katika jangwa?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ