Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 14:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Waisraeli wote pamoja wakalalamika na kulia usiku ule.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 14:1
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walinungunika ndani ya hema zao, wala hawakumusikiliza Yawe.


Hata hivyo waliendelea kumukosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini.


Wakati mufalme wa Misri alipowaachilia Waisraeli wajiendee, Mungu hakuwapitisha katika inchi ya Wafilistini, ingawa njia hiyo ilikuwa ya karibu. Mungu alisema: “Sipendi watu hawa wabadilishe nia na kurudi Misri wakijua kama itawapasa kupigana vita.”


Watu wakalia waliposikia habari hizi mbaya, wala hakuna aliyevaa mapambo yake.


Tuliona majitu huko, wazao wa Anaki. Sisi tulijiona kuwa kama mapanzi mbele yao, na ndivyo walivyotuona sisi.


Wakamunungunikia Musa na Haruni wakisema: Afazali tungekufia Misri! Afazali tungekufia hapahapa katika jangwa!


“Lakini ninyi hamukufuata agizo la Yawe, Mungu wenu; mulikataa kwenda katika inchi hiyo.


Ndipo muliporudi, mukamulilia Yawe, lakini hakuwasikiliza wala hakuwajali.


Na Yawe alipowatuma kutoka Kadesi-Barnea, akisema ‘Muende murizi inchi ambayo nimewapatia’, hamukufuata amri ya Yawe, Mungu wenu. Hamukuamini wala hamukutii yale aliyowaambia.


Wakati wale wenzangu waliokwenda pamoja nami waliwavunja watu moyo, lakini mimi nilimufuata Yawe, Mungu wangu, kwa uaminifu.


Halafu Daudi na watu wake wakaanza kulalamika, wakalia mpaka walipoishiwa nguvu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ