Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 13:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Walipofika katika Bonde la Eskoli, watu hao wakakata shada la muzabibu lililokuwa na matunda mengi nalo lilibebwa na watu wawili juu ya muti. Wakatwaa vilevile makomamanga na tini.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 13:23
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu mumoja aliyeponyoka, akakwenda kumwarifu Abramu Mwebrania ambaye alikuwa anaishi karibu na mielo ya Mamure Mwamori. Mamure alikuwa ndugu ya Eskoli na Aneri. Wote walikuwa wamefanya agano na Abramu.


Pahali pale pakaitwa Bonde la Eskoli, ni kusema “Bonde la Shada” kwa sababu ya shada ambalo watu hao wa Israeli walikata kutoka pahali pale.


Wao walikwenda mpaka bonde la Eskoli, wakaiona inchi, lakini waliporudi, wakavunja Waisraeli moyo kusudi wasiingie katika inchi Yawe aliyowapa.


inchi yenye ngano na shayiri, mizabibu, mitini, mikomamanga, mizeituni na asali.


Nyuma ya mambo hayo, Samusoni akamupenda mwanamuke mumoja aliyeitwa Delila ambaye aliishi katika bonde la Soreki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ