Hesabu 13:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Wakakwenda mpaka Negebu wakapita mpaka muji wa Hebroni. Humo wakawakuta Waahimani, Wasesai na Watalmai, wazao wa Anaki. (Muji wa Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba mbele ya muji wa Soani unaokuwa katika inchi ya Misri). အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |