Hesabu 13:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200220 Muchunguze vilevile kama inchi yenyewe ni tajiri au masikini, ina miti au haina. Mukuwe na mioyo ya ushujaa na munaporudi mulete matunda ya inchi hiyo. Ilikuwa ni wakati zabibu zinapoanza kuivya. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Na kwa wakati wasiouwazia ataingia katika sehemu za jimbo zenye utajiri mwingi na kufanya mambo ambayo hayakufanyika hata na mumoja wa babu zake waliomutangulia. Kisha, atawagawanyia wafuasi wake mali na vitu alivyonyanganya katika vita. Atafanya mipango ya kuishambulia miji yenye kuta, lakini kwa muda tu.