Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 13:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 mupeleleze jinsi inchi inavyokuwa. Muchunguze vilevile kama watu wanaoishi mule ni wenye nguvu au wazaifu, wengi au wachache.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 13:18
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

na hivyo, nimeshuka kusudi niwaokoe toka mikono ya Wamisri. Nitawatoa katika inchi na kuwapeleka katika inchi nzuri na kubwa, inchi inayotiririka maziwa na asali, inchi ya Wakanana, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.


Nitawapa malisho mazuri kwenye milima mirefu ya inchi ya Israeli ambako kuna mashamba mazuri ya kuwakulishia. Watapumzika huko kwenye mbuga za malisho mazuri; watapata malisho mazuri juu ya milima ya inchi ya Israeli.


Alipowatuma kwenda kupeleleza inchi ya Kanana, Musa akawaambia: Muende kule ngambo Negebu, mpaka kwenye inchi ya milima,


Mupeleleze kama inchi hiyo ni nzuri au mbaya, na kama miji wanamoishi ni kambi au ni nyumba zilizozungukwa na kuta.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ