Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 11:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Watu walizungukazunguka na kuikusanya, kisha waliisaga kwa mawe ya kusagia au waliitwanga katika vinu, halafu waliitokotesha ndani ya vyungu na kutengeneza maandazi. Onjo yake ilikuwa kama ya maandazi yaliyokaangwa kwa mafuta.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 11:8
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku moja, Yakobo alipokuwa anapika muchuzi, Esau akarudi kwa nyumba kutoka katika mawindo akiwa na njaa sana.


Musa akawaambia: “Hii ndiyo amri ya Yawe. Kesho ni siku ya mapumziko. Ni Sabato takatifu ya Yawe. Basi, muende mupike au kuchemusha kile chakula munachohitaji leo na chakula kitakachobakia mukiweke mpaka kesho.”


Waisraeli wakaita chakula hicho “Mana.” Kilikuwa kama mbegu za mutama mweupe na onjo yake ilikuwa kama mukate mwembamba uliotiwa asali.


Mana ilikuwa kama mbegu ndogo zenye rangi ya kimanjano.


(Umande ulipoanguka katika kambi wakati wa usiku, mana vilevile ilianguka pamoja na huo umande).


Musitumikie chakula kinachoharibika, lakini mutumikie chakula kinachodumu na kuleta uzima wa milele. Mwana wa Mutu atawapa ninyi chakula hiki, kwa sababu Mungu Baba ametoa uhakikisho juu yake.”


Babu zetu walikula mana katika jangwa, kama ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu yanayosema: ‘Aliwakulisha kwa mukate uliotoka mbinguni.’ ”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ