Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Lakini sasa nguvu zimetuishia na hakuna chakula kingine isipokuwa hii mana tu!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 11:6
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yonadabu akamwambia Amunoni: “Wewe ni mutoto wa mufalme, kwa nini unakonda na unaonekana hauna furaha kila siku? Mbona hautaki kuniambia?” Amunoni akamwambia: “Ninamupenda Tamari, dada ya ndugu yangu Abusaloma.”


Lakini tangu tulipoacha kumufukizia malkia wa mbinguni ubani na sadaka ya kinywaji, tumekosewa kila kitu, na tumeangamizwa kwa vita na njaa.


Basi, wakaanza kumunungunikia Mungu na Musa, wakisema: Kwa nini mumetutoa Misri tukuje tukufie humu katika jangwa? Humu hamuna chakula wala maji; nasi tumechokeshwa na chakula hiki cha bure.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ