34 Kwa hiyo pahali pale pakapewa jina Kibroti-Hatawa, ni kusema “Makaburi ya Hamu”, kwa sababu huko ndiko walikozika watu waliokuwa na hamu ya kula nyama.
hasira ya Mungu iliwaka juu yao; akaua wenye nguvu kati yao, na kuwaangusha vijana wa Israeli.
Kutoka hapo Kibroti-Hatawa watu wakasafiri mpaka Haseroti, wakapiga kambi yao na kukaa kule.
Kutoka Sinai wakapiga kambi yao huko Kibroti-Hatawa.
Kutoka Kibroti-Hatawa, wakapiga kambi yao huko Haseroti.
Mambo hayo ni mufano kwetu, kusudi tusikuwe na tamaa mbaya kama vile wao.
“Tena mulimukasirikisha Yawe, Mungu wenu, huko Tabera, Masa na Kiburoti-Hatawa.