30 Kisha Musa akarudi katika kambi pamoja na wale wazee makumi saba wa Israeli.
Lakini Musa akamujibu: Unaona wivu kwa ajili yangu? Heri Yawe angewapa watu wake wote roho yake nao wapate kuwa manabii!
Nyuma ya pale, Yawe akavumisha upepo kwa rafla, ukaleta kwale kutoka katika bahari na kuwafanya watue kando ya kambi, mwendo wa siku moja hivi kila upande kuzunguka kambi, wakalundikana chini karibu metre moja hivi kwenda juu.
Basi, Musa akaenda kwa Datani na Abiramu, akifuatwa na wazee wa Israeli.