3 Kwa hiyo, pahali pale pakaitwa Tabera, ni kusema “Kuchoma”, kwa sababu pale moto wa Yawe uliwaka kati ya watu.
Yawe, aliposikia hayo, akakasirika, moto ukawawakia wazao wa Yakobo, hasira yake ikapanda juu ya watu wa Israeli,
Kati ya Waisraeli kulikuwa kundi fulani lililoandamana nao ambalo lilikuwa na hamu kubwa ya kula nyama. Waisraeli wenyewe wakalia, wakisema: Heri kama tungeweza kupata nyama ya kula!
Kisha Yawe akashusha moto ukawateketeza wale watu mia mbili makumi tano waliokwenda kufukiza ubani.
“Tena mulimukasirikisha Yawe, Mungu wenu, huko Tabera, Masa na Kiburoti-Hatawa.