31 Musa akamwambia: Tafazali usituache, maana wewe unajua pahali tunapoweza kupiga kambi katika jangwa, na unaweza kuwa mwongozi wetu.
Kwa vipofu nilikuwa macho ya kuwaonyesha njia; kwa viwete nilikuwa miguu yao.
Mungu anasema: “Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayofuata. Nitakushauria kwa uangalifu mukubwa.
Tena ukienda nasi chochote chema Yawe atakachotutendea, ndicho utakachotendewa nawe vilevile.
Musaidiane ninyi kubeba mizigo yenu, na hivi mutatimiza sheria ya Kristo.