Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 10:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Yawe kama ilivyotolewa na Musa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 10:13
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wale waliokuwa chini ya bendera ya jeshi la kabila la Yuda, wakatangulia, kundi moja kisha lingine. Kiongozi wao alikuwa Nasoni mwana wa Aminadabu.


Wakati mwingine wingu hilo lilikaa juu ya hema kwa muda wa siku chache tu. Kwa agizo la Yawe, Waisraeli walipiga kambi na ni kwa agizo la Yawe walisafiri.


Kwa agizo la Yawe walipiga kambi na kwa agizo la Yawe walisafiri. Walishika agizo la Yawe kama vile alivyotoa amri yake kwa njia ya Musa.


“Tulipokuwa kwenye mulima Sinai, Yawe, Mungu wetu, alituambia hivi: ‘Mumekaa muda wa kutosha kwenye mulima huu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ