Kati yao akawapa watu elfu makumi saba kazi ya kubeba mizigo, watu elfu moja wakakuwa wachongaji wa mawe kwenye milima, na watu elfu tatu mia sita wakakuwa wasimamizi kusudi wawasukume watu kufanya kazi.
Hivi ndivyo, Waisraeli walivyofanya kila kitu kama vile Yawe alivyomwamuru Musa. Wakapiga kambi zao, kufuata bendera zao na wakasafiri kila mumoja akiandamana na jamaa yake kwa kufuata ukoo wake.