Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 1:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 kama vile Yawe alivyomwamuru Musa. Musa akawahesabu watu hawa kule katika jangwa la Sinai.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 1:19
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kati yao akawapa watu elfu makumi saba kazi ya kubeba mizigo, watu elfu moja wakakuwa wachongaji wa mawe kwenye milima, na watu elfu tatu mia sita wakakuwa wasimamizi kusudi wawasukume watu kufanya kazi.


Basi, Musa alitimiza kwa ukamilifu kabisa maagizo yote ya Yawe.


Kila mara walipoingia ndani ya hema au walipokaribia ile mazabahu, walinawa, kama vile Musa alivyoamuriwa na Yawe.


Wewe na Haruni mufanye hesabu ya Waisraeli wote na kuandika majina ya wanaume wote, kulingana na ukoo na jamaa zao.


Kwa hiyo Waisraeli wakafanya kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.


Hivi ndivyo, Waisraeli walivyofanya kila kitu kama vile Yawe alivyomwamuru Musa. Wakapiga kambi zao, kufuata bendera zao na wakasafiri kila mumoja akiandamana na jamaa yake kwa kufuata ukoo wake.


Hao ndio wanaume Waisraeli waliohesabiwa na Musa na kuhani Eleazari katika inchi za mabonde za Moabu, ngambo ya muto Yordani, karibu na Yeriko.


akawapa Haruni na wana wake feza hizo za malipo sawa na neno la Yawe, kama vile alivyomwamuru.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ