Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hagai 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Yawe wa majeshi anasema hivi: Kisha muda kidogo nitazitikisa mbingu na dunia, bahari na inchi kavu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hagai 2:6
25 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yeye anaitikisa dunia kutoka pahali pake, na nguzo zake zinatetemeka.


Katika taabu yangu, nilimwita Yawe; nilimulilia Mungu wangu anisaidie. Toka katika hekalu lake, alisikia sauti yangu; kilio changu kilimufikia katika masikio yake.


Bado kidogo, mwovu atatoweka; utamutafuta pale alipokuwa, wala hautamwona.


Maana bado kidogo, nayo hasira yangu itapita na kasirani yangu itawageukia Waasuria.


Nitazitetemesha mbingu nayo inchi itatikisika katika misingi yake kwa sababu ya kasirani ya Yawe wa majeshi, siku ile ya hasira yangu kali.


Muingie katika mapango chini ya mawe, katika mashimo ndani ya udongo, kwa kuepuka kitisho cha Yawe, mbali na mwangaza wa utukufu wake, atakapokuja kuogopesha dunia.


Bado kidogo tu, pori la Lebanoni litageuzwa kuwa shamba lenye udongo muzuri, na shamba lenye udongo muzuri kuwa pori.


Jeshi lote la anga litaharibika, anga zitakunjamana kama karatasi. Jeshi lake lote litanyauka, kama vile majani ya mizabibu au mitini yanavyonyauka.


Siku zinakuja ambapo nitatimiza ahadi yangu niliyofanya na Waisraeli na Wayuda.


Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Babeli ni kama uwanja wa kupepetea ngano wakati unapotayarishwa. Lakini bado kidogo tu, wakati wa mavuno utaufikia.


Mimi ninasema wazi kwa wivu na kasirani yangu kali kwamba siku hiyo kutakuwa tetemeko kubwa la inchi katika inchi ya Israeli.


Samaki na ndege, nyama wa pori, viumbe vyote vinavyotambaa pamoja na watu wote katika dunia, watatetemeka kwa kuniona. Milima itaporomoshwa, mawe yataanguka na kuta zote zitaanguka chini.


Nami nitafanya maajabu juu katika mbingu na vitambulisho chini katika dunia: kutakuwa damu, moto na moshi mwingi.


Kwa maana, kama vile Maandiko haya Matakatifu yanavyosema: “Kunabaki wakati kidogo sana, yule anayepaswa kuja, afike wala hatakawia.


Nao watu wa kila jamaa, wa kila kabila, wa kila luga na wa kila taifa wataangalia maiti hizo kwa muda wa siku tatu na nusu, wala hawatakubali zizikwe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ