Hagai 2:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Kama mutu akibeba kipande cha nyama iliyotakaswa katika upindo wa nguo yake, kisha akigusa kwa upindo wa nguo ile mukate au chakula kilichopikwa, au divai, au mafuta au chakula cha aina yoyote ile, basi, chakula hicho kitakuwa kitakatifu? Makuhani wakamujibu: Hapana. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |