Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 9:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kwa hiyo, musiwaoeshe na wabinti zenu kwa watu hao, wala musiwaruhusu wana wenu kuwaoa wabinti zao. Pia, musishugulikie usalama au mafanikio yao, kusudi ninyi wenyewe mupate kuwa na nguvu, na mufaidie mema ya inchi hiyo na kuwaachia watoto wenu kama vile urizi milele.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 9:12
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Basi sasa, mbele ya kusanyiko hili la Waisraeli wote, taifa la watu wa Yawe, na mbele ya Mungu wetu, muangalie na mushike amri zote za Yawe, Mungu wenu, kusudi muendelee kurizi inchi hii nzuri, na kuwarizisha wazao wenu nyuma yenu, hata milele.


Lakini nabii Yehu mwana wa Hanani, akakwenda kukutana na mufalme, akamwambia: “Unazani ni vema kuwasaidia waovu na kuwapenda wanaomuchukia Yawe? Mambo uliyofanya yamekuletea kasirani ya Yawe.


Wayuda wanaoa wanawake wa kigeni na kuwaoea wana wao vilevile. Hivyo, taifa takatifu la Mungu limechanganyika na watu wa mataifa mengine. Vilevile wasimamizi na wakubwa ndio wa kwanza kutenda maovu hayo.”


Musifanye agano lolote nao, wala na miungu yao.


Mutu muzuri anawaachia wazao wake urizi, lakini mali ya mwenye zambi imelundikiwa wenye haki.


Heri watoto wa mutu wa haki mwenye mwenendo mukamilifu!


Mukiwa tayari kunitii, mutakula mazao mema ya inchi.


Lakini Yawe, Mungu wenu, hakumusikiliza Balamu; pahali pake laana hiyo iligeuka kuwa baraka, kwa sababu Yawe, Mungu wenu, aliwapenda.


Kwa hiyo, musiwasaidie hao hata kidogo kusudi wapate amani na fanaka.


Musioane nayo, wala musiyaoeshee wabinti zenu au wana wenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ