Ezra 9:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Nyuma ya mambo haya yote kutendeka, viongozi wakanifikia na kunipa habari hii: “Watu wa Israeli, makuhani na Walawi hawakujitenga na wakaaji wa inchi ambao wanatenda machukizo: Waamoni, Wamoabu na Wamisri, Wakanana, Wahiti, Waperizi, Wayebusi na Waamori. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |