Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 8:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Basi, makuhani na Walawi wakatwaa feza, zahabu na vyombo vyote walivyopimiwa, kwa kuvipeleka katika Yerusalema ndani ya nyumba ya Mungu wetu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 8:30
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hii ndiyo hesabu yake: bakuli makumi tatu za zahabu, bakuli elfu moja za feza, vyetezo makumi mbili na tisa,


Ingekuwa haya kubwa kwangu kumwomba mufalme kundi la waaskari na waaskari wapanda-farasi wa kutulinda na waadui katika njia maana nilikuwa nimekwisha kumwambia kwamba Mungu wetu anawabariki wote wanaomutafuta, lakini anawachukia na kuwaazibu wote wanaomwacha.


Katika siku ya ine, tukiwa ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tukapima ile feza, zahabu na vile vyombo, kisha tukavipatia kuhani Meremoti mwana wa Uria. Meremoti alikuwa pamoja na Eleazari mwana wa Finehasi, na Walawi wawili, Yozabadi mwana wa Yesua, na Noadia mwana wa Binui.


Kwa ajili ya nyumba ya Yawe, Mungu wetu, ninakuombea upate uheri!


Utaletewa utukufu wa pori ya Lebanoni: mbao za shindano, mivinje na misunobari, zitumike kwa kupamba kiwanja cha hekalu langu; nami nitaleta utukufu hapo ninapokaa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ