Ezra 8:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Ingekuwa haya kubwa kwangu kumwomba mufalme kundi la waaskari na waaskari wapanda-farasi wa kutulinda na waadui katika njia maana nilikuwa nimekwisha kumwambia kwamba Mungu wetu anawabariki wote wanaomutafuta, lakini anawachukia na kuwaazibu wote wanaomwacha. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |