Ezra 8:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200220 Zaidi ya hao, kulikuwa watumishi wa hekalu mia mbili makumi mbili ambao babu zao walikuwa wamechaguliwa na mufalme Daudi na wakubwa wake kwa kuwasaidia Walawi. Majina ya watu wote hawa yameandikwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Hizi ni ukoo za watumishi wa hekalu waliorudi kutoka katika uhamisho: Siha, Hasufa, Tabaoti, Kerosi, Siaha, Padoni, Lebana, Hagaba, Akubu, Hagabu, Semaya, Hanani, Gideli, Gahari, Raya, Resini, Nekoda, Gazamu, Uza, Pasea, Besayi, Asina, Munimu, Nefisimu, Bakuki, Hakufa, Harihuri, Basiluti, Mehida, Harsa, Barkosi, Sisera, Tema, Nezia, Hatifa.