Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 8:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Nikaita viongozi tisa wakuje kwangu: Eliezeri, Arieli, Semaya, Elnatani, Yaribu, Elnatani, Natani, Zekaria na Mesulamu, pamoja na waalimu wawili, Yoyaribu na Elnatani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 8:16
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

naye akamwambia: “Kwa sababu umetoa ombi hili, na haukujiombea maisha marefu au mali, na wala haukuomba waadui zako waangamizwe, lakini umejiombea hekima ya kutoa hukumu au kutenda haki,


Kutoka nusu ya kabila la Manase: watu elfu kumi na nane, waliotajwa majina kwa kuja kumuweka Daudi kuwa mufalme.


Kura ya kuchagua wa kulinda mulango wa upande wa mashariki ikamwangukia Selemia. Wakapiga kura vilevile kwa ajili ya mwana wake Zekaria, aliyekuwa mushauri mwenye hekima, ikamwangukia kura ya mulango wa upande wa kaskazini.


Sasa ninakutumia fundi mwenye ujuzi sana na mwenye akili, jina lake Huruma-Abi.


Wazao wa Harimu: Maseya, Elia, Semaya, Yehieli na Uzia.


Nikawakusanya pamoja watu wote pembeni ya muto unaoelekea muji wa Ahava. Kule, tukapiga kambi kwa muda wa siku tatu. Nikaangalia kati ya watu wote pamoja na makuhani, lakini sikupata Walawi kati yao.


Nikawatuma kwa Ido, kiongozi wa jamii ya watu kule Kasifia, nikimwomba yeye pamoja na wenzake watumishi wa nyumba ya Mungu, watuletee watu watakaotumika katika nyumba ya Mungu.


Kwa neema ya Mungu, wakatuletea Serebia, mutu mwenye akili na Mulawi wa ukoo wa Mali, pamoja na wana wake na wandugu zake kumi na wanane.


Maana Yawe anawapa watu hekima; katika kinywa chake kunatoka maarifa na ufahamu.


Mafikiri ya mutu ndani ya moyo wake ni kama kilindi cha maji; lakini mutu mwenye akili anajua kuyachota mule.


Taifa lenye fujo lina viongozi wengi, lakini kwa kiongozi mumoja mwenye akili na maarifa kuna utengemano.


Anabadilisha nyakati na wakati, anaondoa na kuwatawalisha wafalme. Anawapa hekima wenye hekima, anawaongezea wenye maarifa ufahamu.


Ufikiri juu ya maneno hayo ninayosema, kwa maana Bwana atakupa uwezo kwa kuyaelewa yote.


Tunajua vilevile kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupatia ufahamu tupate kumujua Mungu anayekuwa wa kweli. Nasi tunaungana na yule Mungu anayekuwa wa kweli kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ