Ezra 7:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Katika mwaka wa saba wa utawala wa mufalme Artasasta, Ezra akafunga safari kutoka Babeli kwenda Yerusalema. Alikwenda pamoja na watu wamoja wa Israeli, makuhani, Walawi, waimbaji, walinzi wa milango na watumishi wa hekalu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Haya ndiyo majina ya makuhani na Walawi waliorudi toka katika uhamisho pamoja na Zerubabeli mwana wa Saltieli, na Kuhani Mukubwa Yesua. Makuhani walikuwa: Seraya, Yeremia, Ezra, Amaria, Maluku, Hatusi, Sekania, Rehumu, Meremoti, Ido, Ginetoni, Abiya, Miyamini, Madia, Bilga, Semaya, Yoyaribu, Yedaya, Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hao walikuwa ni wakubwa wa makuhani na wandugu zao wakati wa Yesua.