Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 7:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kila kitu Mungu wa mbinguni alichoagiza kwa ajili ya nyumba yake, kinapaswa kutimizwa kikamilifu, kusudi asipate kukasirikia ufalme wangu au wana wangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 7:23
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninaamuru kwamba katika utawala wangu, Mwisraeli yeyote, au kuhani wao, au Mulawi, akitaka kurudi Yerusalema kwa mapenzi yake, anaweza kwenda pamoja nawe.


Feza na zahabu itakayobaki unaweza kuitumia pamoja na wanainchi wenzako kama vile mutakavyopenda, kufuatana na mapenzi ya Mungu.


feza kiasi anachotaka mpaka kufikia kilo elfu tatu mia ine, ngano kilo elfu kumi, divai litre elfu mbili, mafuta litre elfu mbili, na chumvi kiasi chochote atakachohitaji.


Ee Mungu, umetupatia kanuni zako kusudi tuzishike kwa uangalifu.


Musa na Haruni wakamwambia: “Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Tunakusihi utuache tujiendee katika jangwa mwendo wa siku tatu tutoe sadaka kwa Yawe, Mungu wetu. Kama sivyo, yeye atatuua kwa ugonjwa mukali au kwa upanga.”


Mushugulike na kuleta ustawi katika muji ule ambamo nimewahamishia. Muuombee muji huo kwa Yawe, maana ukistawi ninyi vilevile mutastawi.


Siku hiyo nitaufanya Yerusalema kuwa kama jiwe zito kwa watu wote: yeyote atakayelinyanyua atajiumiza mwenyewe. Watu wa mataifa yote katika dunia wataushambulia muji ule.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ