18 Feza na zahabu itakayobaki unaweza kuitumia pamoja na wanainchi wenzako kama vile mutakavyopenda, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
Zote zilitumiwa kwa kuwalipa wafanyakazi waliozitumia kwa kutengeneza nyumba ya Yawe.
Watu wanaosimamia ujenzi wasiombwe kutoa hesabu ya matumizi ya feza watakazopewa, kwa sababu wanazitumia kwa uaminifu.”
Feza hiyo utaitumia kwa uangalifu sana kwa kununua ngombe dume, kondoo dume, wana-kondoo na sadaka ya unga na divai, na kuvitoa kwenye mazabahu katika nyumba ya Mungu wenu inayokuwa Yerusalema.
Vyombo ambavyo umepewa kwa ajili ya ibada ya nyumba ya Mungu wako, utamutolea Mungu wa Yerusalema.
Mutu yeyote ambaye hatatii Sheria ya Mungu wako na ya mufalme, ahukumiwe mara moja: kufa, kuhamishwa, kunyanganywa mali yake au kufungwa.
Kwa hiyo musikuwe wajinga, lakini mutambue mapenzi ya Bwana.