Ezra 7:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 Utatwaa feza na zahabu ambayo mimi na washauri wangu tumemutolea kwa utashi wetu Mungu wa Israeli ambaye hekalu lake liko katika muji Yerusalema. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Basi, sasa unitumie mutu mwenye ujuzi wa kutengeneza vyombo kwa zahabu, feza, shaba, na chuma, na nguo ya rangi nyekundu-nyeusi, za rangi nyekundu na ya samawi, anayejua vilevile kuchora. Yeye atashirikiana katika kazi hiyo na wafundi wanaokuwa pamoja nami katika Yuda na Yerusalema, ambao baba yangu Daudi aliwaweka.