Ezra 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Nyuma ya mambo yale, wakati wa utawala wa mufalme Artasasta wa Persia, kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Ezra. Ezra alikuwa mwana wa Seraya mwana wa Azaria mwana wa Hilkia အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Wakamwendea Hilkia, Kuhani Mukubwa, wakamupa feza zilizokuwa zimeletwa katika nyumba ya Mungu ambazo zilikusanywa na Walawi walinzi wa mulango, kutoka kwa watu wa Manase, Efuraimu na kutoka pande zingine zote za Israeli, inchi ya Yuda yote na ya Benjamina, na vilevile kutoka kwa wenyeji wa Yerusalema.