Ezra 6:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Zaidi ya hayo, ninatoa amri kwamba ninyi mutawasaidia katika kazi hiyo. Mali zao zote walizotumia zitalipwa bila kuchelewa kutoka katika hazina ya mufalme inayotokana na kodi kutoka katika jimbo la upande wa magaribi wa muto Furati. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |