Ezra 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Vilevile, vyombo vyote vya zahabu na feza ambavyo mufalme Nebukadneza alivileta Babeli kutoka katika hekalu la Yerusalema, vitarudishwa na kuwekwa kila kimoja pahali pake katika nyumba ya Mungu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Vilevile akavirudisha vyombo vya zahabu na feza ambavyo mufalme Nebukadneza alikuwa amevipeleka kutoka katika hekalu kule Yerusalema na kuviweka katika hekalu la Babeli. Vyombo hivyo Kiro akaviondoa toka hekalu la Babeli na kuvipatia Sesebasari ambaye alikuwa amemuchagua akuwe mutawala wa Yuda; akamwamuru akisema: