Ezra 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Kuta zake zitajengwa kwa mustari mumoja wa miti juu ya kila mistari tatu ya mawe makubwa. Mali itakayotumiwa kwa kazi ile itatoka katika hazina ya mufalme. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Watu walitoa feza za kuwalipa waseremala na wajengaji, walitoa vilevile chakula, vinywaji na mafuta, kusudi vipelekwe katika miji ya Tiro na Sidona kubadilishwa na miti ya mierezi kutoka Lebanoni. Miti hiyo ililetwa kwa njia ya bahari mpaka Yopa. Haya yote yalifanyika kwa musaada wa mufalme Kiro wa Persia.