4 Tena wakauliza: “Ni nani wanaojenga nyumba hii? Tunataka majina yao.”
Tukawauliza vilevile majina yao kusudi tuweze kukujulisha wale wanaoongoza kazi hiyo.
Bezaleli na Oholiabu, pamoja na kila mwanaume ambaye Yawe amemujalia uwezo na akili ya kujua namna ya kufanya kazi zote katika majengo ya hema takatifu, atafanya kazi kulingana na yote ambayo Yawe aliamuru.