10 Tukawauliza vilevile majina yao kusudi tuweze kukujulisha wale wanaoongoza kazi hiyo.
Wao wakatujibu hivi: “Sisi ni watumishi wa Mungu wa mbingu na dunia, na tunaijenga upya nyumba ambayo ilikuwa imejengwa na kumalizika pale mbele na mufalme mumoja mukubwa wa Israeli.”
Tena wakauliza: “Ni nani wanaojenga nyumba hii? Tunataka majina yao.”
Tuliwauliza viongozi hao watuambie ni nani aliyewapa amri ya kuijenga upya nyumba hii mpaka kuimaliza.