Ezra 4:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Tena wakati wa utawala wa Artasasta, mufalme wa Persia, Bisilamu, Mitiredati, Tabeli na warafiki zao, wakamwandikia barua mufalme Artasasta. Barua hiyo iliandikwa katika herufi za Kiaramea na kutafsiriwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |