21 Kwa hiyo, mutoe amri watu hao waache kuujenga upya muji ule mpaka pale nitakapotoa maagizo mengine.
Wafalme wenye nguvu wamepata kuutawala muji ule pamoja na jimbo la upande wa magaribi wa Furati wakilipisha kodi, malipo ya kuvuka mipaka na mengine.
Tena, muangalie sana musichelewe kufanya hivyo, kusudi nisipate hasara.