Ezra 4:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 wakamwendea Zerubabeli na viongozi wa ukoo, na kumwambia: “Tafazali tushirikiane katika ujenzi wa hekalu. Sisi kama vile ninyi tunamwabudu Mungu wenu, na tumekuwa tukimutolea sadaka tangu zamani za Esari-Hadoni, mufalme wa Asuria aliyetuleta hapa.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |