Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 3:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yesua, wana wake na jamaa yake, pamoja na Kadimieli na wana wake, (wa ukoo wa Yuda) walishirikiana kwa kusimamia ujenzi wa nyumba ya Mungu. Wakasaidiwa na wazao wa Henadadi na wandugu zao Walawi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 3:9
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu, Daudi akawagawanya: elfu makumi mbili na nane kati yao wakuwe wasimamizi wa kazi ya nyumba ya Yawe, elfu sita wakuwe wakubwa na waamuzi,


Watu wale walifanya kazi hiyo kwa uaminifu, wakiwa chini ya uongozi wa Walawi Yahati na Obadia, wa ukoo wa Merari na Zakaria na Mesulamu wa ukoo wa Kohati. Walawi wote waliokuwa na ujuzi sana wa kupiga vyombo vya muziki,


Walawi wa ukoo wa Yesua na wa Kadimieli, wazao wa Hodavia waliorudi kutoka katika uhamisho walikuwa makumi saba na wane.


Basi, watu wakaanza kazi katika mwezi wa pili wa mwaka wa pili nyuma ya kufikia kwenye nyumba ya Mungu katika Yerusalema. Zerubabeli, mwana wa Saltieli, Yesua mwana wa Yosadaki, wandugu zao wengine, makuhani, Walawi na watu wengine wote waliorudi Yerusalema kutoka katika uhamisho, wakajiunga nao katika kazi hiyo. Walawi wote waliokuwa na umri wa miaka makumi mbili au zaidi, walichaguliwa kwa kusimamia kazi ya kuijenga upya nyumba ya Yawe.


Kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta ikajengwa upya na Binui mwana wa Henadadi.


Walawi wa ukoo wa Yesua, ni kusema Kadimieli, wazao wa Hodavia waliorudi kutoka katika uhamisho walikuwa makumi saba na wane.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ