7 wa ukoo wa Elamu: elfu moja mia mbili makumi tano na wane;
Wazao wa Elamu: Matania, Zakaria, Yehieli Abudi, Yeremoti na Elia.
wa muji wa Elamu wa pili: elfu moja mia mbili makumi tano na wane;
wa ukoo wa Pahati-Moabu, maana yake wazao wa Yesua na Yoabu: elfu mbili mia nane kumi na wawili;
wa ukoo wa Zatu: mia tisa makumi ine na watano;
ukoo wa Elamu: elfu moja mia mbili makumi tano na wane;