Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 2:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 wa muji wa Yeriko: mia tatu makumi ine na watano;

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 2:34
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati wa utawala wake, Hieli wa muji wa Beteli aliujenga upya muji wa Yeriko. Na sawa kabisa na neno Yawe alilosema kwa njia ya Yoshua mwana wa Nuni, Hieli alikufiwa na muzaliwa wake wa kwanza aliyeitwa Abiramu, wakati wa kuiweka misingi ya Yeriko. Akakufiwa vilevile na mwana wake mudogo aliyeitwa Segubu, wakati wa kuweka milango ya muji wa Yeriko.


Wale wakubwa waliotajwa majina yao waliwatwaa wafungwa na kwa kutumia vitu vilivyonyanganywa wakawavalisha wafungwa ambao hawakukuwa na nguo; waliwapatia viatu, chakula na vinywaji, na kuwapakaa mafuta. Wale ambao walikuwa hawajiwezi, wakawabeba juu ya punda, wakawapeleka wafungwa wote mpaka Yeriko, muji wa mingazi, kwa wandugu zao; kisha wao wakarudi Samaria.


wa muji wa Lodi, Hadidi na wa Ono: mia saba makumi mbili na watano;


wa muji wa Sena: elfu tatu mia sita na makumi tatu.


Sehemu iliyofuata ilijengwa upya na watu wa muji wa Yeriko. Nyuma ya hayo aliyefuata ni Zakuri mwana wa Imuri kwa kujenga sehemu ya ukuta.


wa muji wa Yeriko: mia tatu makumi ine na watano;


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ