Ezra 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 wa ukoo wa Parosi: elfu mbili mia moja makumi saba na wawili; အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Hayo ndiyo majina ya viongozi wa ukoo za watu waliorudi pamoja nami Ezra kutoka Babeli, wakati wa utawala wa mufalme Artasasta: Gersomi, wa ukoo wa Finehasi; Danieli, wa ukoo wa Itamari; Hatusi, wa ukoo wa Daudi; mwana mumoja wa ukoo wa Sekania; Zakaria, wa ukoo wa Parosi, pamoja na wanaume mia moja na makumi tano wa ukoo wake, walioandikishwa pamoja; Eliyoenayi mwana wa Zerahia, wa ukoo wa Pahati-Moabu, pamoja na wanaume mia mbili; Sekania mwana wa Yahasieli, wa ukoo wa Zatu, pamoja na wanaume mia tatu; Ebedi mwana wa Yonatani, wa ukoo wa Adini, pamoja na wanaume makumi tano; Yesaya mwana wa Atalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume makumi saba; Zebadia mwana wa Mikaeli, wa ukoo wa Sefatia, pamoja na wanaume makumi nane; Obadia mwana wa Yehieli, wa ukoo wa Yoabu, pamoja na wanaume mia mbili kumi na wanane; Selemoti mwana wa Yosifia, wa ukoo wa Bani, pamoja na wanaume mia moja na makumi sita; Zakaria mwana wa Bebayi, wa ukoo wa Bebayi, pamoja na wanaume makumi mbili na wanane; Yohanani mwana wa Hakatani, wa ukoo wa Azgadi, pamoja na watu mia moja na kumi; Elifeleti, Yueli na Semaya, wa ukoo wa Adonikamu, pamoja na wanaume makumi sita, (hawa walirudi kisha); Utayi na Zakuri, wa ukoo wa Bigwayi pamoja na wanaume makumi sita.
Viongozi wa watu: Parosi, Pahati-Moabu, Elamu, Zatu, Bani, Buni, Azgadi, Bebayi, Adonia, Bigwayi, Adini, Ateri, Hezekia, Azuri, Hodia, Hashumu, Bezayi, Harifu, Anatoti, Nobayi, Magipiasi, Mesulamu, Hesiri, Mesezabeli, Zadoki, Yadua, Pelatia, Hanani, Anaya, Hosea, Hanania, Hasubu, Halohesi, Pileha, Sobeki, Rehumu, Hasabuna, Maseya, Ahia, Hanani, Anani, Maluku, Harimu na Bana.